Elimu Podcast: Mafadhaiko miongoni mwa vijana

Elimu
Oct. 17, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mafadhaiko miongoni mwa vijana yameendelea kuwazonga na hata baadhi kukata tamaa maishani. Mwalimu Frank Otieno amezungumza kwa kina na washauri wa vijana: Evelyne Ogendo, Faith Mutendwa na Kelvin Ogada na kuangazia mbinu za kuwakwamua vijana kutokana na msongo wa mawazo nyumbani na hata shuleni.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS