Elimu Podcast: Mafadhaiko miongoni mwa vijana
Elimu
Oct. 17, 2021
Mafadhaiko miongoni mwa vijana yameendelea kuwazonga na hata baadhi kukata tamaa maishani. Mwalimu Frank Otieno amezungumza kwa kina na washauri wa vijana: Evelyne Ogendo, Faith Mutendwa na Kelvin Ogada na kuangazia mbinu za kuwakwamua vijana kutokana na msongo wa mawazo nyumbani na hata shuleni.
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....