Elimu Podcast: Wanafunzi Wenye Mahitaji Spesheli

Elimu
Sep. 26, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Kenya inapochangamkia Mtalaa wa Umilisi (CBC), mwanafunzi mwenye mahitaji spesheli anashughulikiwaje?Mwalimu Frank Otieno amezumgumza na Daktari Festo Ndonye, ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi, Idara ya Elimu Spesheli na Eva Nabutuni, mwandishi wa kitabu cha kufunza walimu na wazazi kuhusu elimu ya wenye mahitaji spesheli.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS