Elimu Podcast: Wanafunzi Wenye Mahitaji Spesheli
Elimu
Sep. 26, 2021
Kenya inapochangamkia Mtalaa wa Umilisi (CBC), mwanafunzi mwenye mahitaji spesheli anashughulikiwaje?Mwalimu Frank Otieno amezumgumza na Daktari Festo Ndonye, ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi, Idara ya Elimu Spesheli na Eva Nabutuni, mwandishi wa kitabu cha kufunza walimu na wazazi kuhusu elimu ya wenye mahitaji spesheli.
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....