Elimu Podcast: CBC Yawatatiza Wazazi na Walimu; Washikadau Wazungumza
Elimu
Sep. 12, 2021
Suala la Mtalaa wa Umilisi, CBC limezua mihemko nchini miongoni mwa wazazi, walezi, walimu na wanafunzi. Kwenye mazungumzo ya Elimu Podcast na Mwalimu Frank Otieno, tunakuletea kauli za Daktari Emmanuel Manyasa - Mtafiti wa Elimu, Daktari Janet Mangera wa FAWE-K na Serah Kimani - Mwalimu Mkuu Shule ya Demacrest. Haya yanajiri wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uwezo wa Kusoma na Kuandika, International Literacy Day. Makinika...
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....