Elimu Podcast: CBC Yawapa Taabu Wazazi, Walimu na Wanafunzi

Elimu
Sep. 07, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Malalamishi kuhusu Mtalaa wa Umilisi, CBC yanazidi kuongezeka. Wazazi wanalalamikia gharama ya juu ya vifaa vya masomo vilevile kulalamikia suala la kutumia muda mwingi kuwasaidia wanao kufanya mazoezi waliyopewa shuleni. Baadhi yao wanapendekeza kusitishwa kwa mtalaa huo na kurejelewa kwa ule wa 8.4.4. Walimu nao wanalalama kwamba hawakupewa mafunzo yafaayo kuhusu CBC mbali na kuhitajika kufanya kazi za ziada. Wanafunzi pia wanalazimika kubeba vitabu vingi mno na kuhangaika kutafuta vifaa vinavyohitajika shuleni. Shadrack Miti amezungumza na pande zote zinazohusika. Sikiliza podcast hii kwa kina chake.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS