ELIMU PODCAST: Usalama wa mtoto wa kike - kwenda na kutoka shuleni
Elimu
Jun. 13, 2021
Visa vya wanafunzi kudhulumiwa wanapokwenda au kutoka shuleni vinazidi kuongezeka. Baadhi wanatekwa nyara, kubakwa au kuuliwa. Je, unamwamini anayemsafirisha mtoto wako? Jamii na washikadau wote wamewajibika vya kutosha ili kukabili visa hivi? Kipi kifanywe ili kuwahakikishia watoto wa kike usalama wanapokwenda au kutoka shuleni? Mwanahabari wetu, Frank Otieno amezungumza na Teresia Otieno wa Forum for African Women Educationalists, FAWE na Dr. Susan Chang'orok Chemtai ambaye ni Mwanasosholojia kuhusu masuala haya.
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....