Siasa, Kuapishwa kwa Biden

Siasa
Jan. 20, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden siku ya Jumatano atachukua rasmi hatamu za uongozi kuwa Rais wa 46 wa Marekani baada ya kuibuka mshindi wa uchaguzi wa Novemba tatu mwaka uliopita. Kinachosubiriwa leo hii ni namna hafla ya kumwapisha Biden itakavyofanyika ikizingatiwa tayari Rais anayeondoka, Donald Trump ameashiria kutoihudhuria. Kwenye uchambuzi huu, tunaangazia namna utawala wa Trump utakavyokumbukwa na matarajio kupitia utawala mpya wa Biden. Beatrice Maganga analichanganua suala hili.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS