Vijana na Mapenzi Podcast: Kuwasiliana na mpenzi mliyetengana ni sawa?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mtu anapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, mara nyingine hujipata katika hali ambapo analazimika kutengana na mpenzi wake. Kuna wale ambao husitisha kabisa mawasiliano kati yao huku wengine wakiyaendeleza licha ya kutengana. Je, ni sawa kuwasiliana na uliyetengana naye? Wananchi wanatoa kauli zao wengine wakiunga mkono na wengine wakipinga. Aidha, washauri wawili, Rachel Mahungu na Malkia wa Vijembe wanatupambia podcast hii kwa ushauri nasaha.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS