Vijana na Mapenzi Podcast: Kuwasiliana na mpenzi mliyetengana ni sawa?
Vijana na Mapenzi
Jan. 27, 2022
Mtu anapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, mara nyingine hujipata katika hali ambapo analazimika kutengana na mpenzi wake. Kuna wale ambao husitisha kabisa mawasiliano kati yao huku wengine wakiyaendeleza licha ya kutengana. Je, ni sawa kuwasiliana na uliyetengana naye? Wananchi wanatoa kauli zao wengine wakiunga mkono na wengine wakipinga. Aidha, washauri wawili, Rachel Mahungu na Malkia wa Vijembe wanatupambia podcast hii kwa ushauri nasaha.
RELATED EPISODES
Je, unafaa kukutana na mpenzi wa mtandaoni baada ya muda gani? | Vijana na Mapenzi.
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
abia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Pesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi Podcast