Vijana na Mapenzi Podcast: Sihamii kwa mume; soko ni mbali- maisha magumu

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Awamu hii ya Vijana na Mapenzi inaangazia kisa cha mwanadada ambaye licha ya kuolewa, hataki kwenda kuishi na mumewe na kupendelea aishi tu alikozoea kabla ya kuolewa. Anasema kwamba anakoishi, maisha ni rahisi kulinganisha na kwa mumewe. Tunaliangazia suala hili kwa kushirikisha kauli za wananchi na wataalam.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS