Vijana na Mapenzi Podcast: Waweza kumwacha mpenzi mwenye pesa kwa sababu gani?
Vijana na Mapenzi
Nov. 26, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kuna msemo kwamba pesa ni sabuni ya roho. Hata hivyo kuna wapenzi ambao hutengana licha ya kuwa na pesa nyingi na mtu kuamua kumwendea asiyekuwa nazo. Je, ni kipi kinachoweza kuchangia hali hii? Wananchi vilevile washauri wa masuala ya ndoa wanatoa kauli zao.
RELATED EPISODES
Je, unafaa kukutana na mpenzi wa mtandaoni baada ya muda gani? | Vijana na Mapenzi.
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
abia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Pesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi Podcast
Share this episode