Vijana na Mapenzi Podcast: Waweza kumwacha mpenzi mwenye pesa kwa sababu gani?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Kuna msemo kwamba pesa ni sabuni ya roho. Hata hivyo kuna wapenzi ambao hutengana licha ya kuwa na pesa nyingi na mtu kuamua kumwendea asiyekuwa nazo. Je, ni kipi kinachoweza kuchangia hali hii? Wananchi vilevile washauri wa masuala ya ndoa wanatoa kauli zao.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS