Vijana na Mapenzi Podcast: Utamwambia rafiki yako iwapo mpenzi wake anakukatia?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

[09:19, 11/4/2021] Mungou: Mara nyingi watu wanapochumbiana, huwa kuna rafiki wa karibu anayeufahamu uhusiano huo. Hali hii huwafanya wengine kujipata katika hali ya kuanza kutongozwa na wapenzi wa marafiki zao. Iwapo utajipata katika hali hii, ni sawa kumfahamisha rafiki yako kwamba amdhaniaye ndiye kumbe siye?

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS