VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Je, ni sawa kumtembelea mpenzi wako bila kumwarifu?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mara nyingi wapenzi hupenda kutia ladha katika mahusiano yao kwa kufanyiana mambo ambayo mtu hakutarajia. Kuna wale huenda kiasi cha kuwatembelea wapenzi wao bila kuwajulisha. Je, hatua hiyo inafaa ama ni lazima umjulishe mpenzi wako kwanza? Tumepata hisia za wananchi vilevile mtaalam wa masuala ya mahusiano kulihusu suala hili.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS