Vijana na Mapenzi Podcast: Mke hataki ku'rent nyumba; anaishi kwa wazazi. Ni sawa?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Ni jambo la kawaida wakati msichana anapoolewa aende kuishi na mumewe. Hata hivyo, kuna msichana anayesema yeye atabaki kwao kwani ni karibu na anakofanyia kazi na kukodi nyumba ya kuishi na mumewe ni gharama kwani anakofanyia kazi mume huyo ni mbali. Vijana wanatoa kauli zao huku mshauri, Rachel Mahungu akitumia utaalam wake kutoa ushauri kwa vijana

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS