Vijana na Mapenzi Podcast: Mke hataki ku'rent nyumba; anaishi kwa wazazi. Ni sawa?
Vijana na Mapenzi
Oct. 15, 2021
Ni jambo la kawaida wakati msichana anapoolewa aende kuishi na mumewe. Hata hivyo, kuna msichana anayesema yeye atabaki kwao kwani ni karibu na anakofanyia kazi na kukodi nyumba ya kuishi na mumewe ni gharama kwani anakofanyia kazi mume huyo ni mbali. Vijana wanatoa kauli zao huku mshauri, Rachel Mahungu akitumia utaalam wake kutoa ushauri kwa vijana
RELATED EPISODES
Je, unafaa kukutana na mpenzi wa mtandaoni baada ya muda gani? | Vijana na Mapenzi.
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
abia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Pesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi Podcast