Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Gumzo na Mwanaspoti
Oct. 14, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Aliyekuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya soka, Harambee Stars Silvanus Otema anasema alipitia wakati mgumu nchini Ethiopia baada ya kujiunga na klabu ya St. George. Otema anasema alitengwa na wachezaji wa klabu hiyo kutokana na uzuri wake. Pata uhondo kamili katika Podcast hii.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode