Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Aliyekuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya soka, Harambee Stars Silvanus Otema anasema alipitia wakati mgumu nchini Ethiopia baada ya kujiunga na klabu ya St. George. Otema anasema alitengwa na wachezaji wa klabu hiyo kutokana na uzuri wake. Pata uhondo kamili katika Podcast hii.

Share this episode
Is casual sex future hurt?
An open conversation about the climate around casual sex and the implications. Host Gilda Naibei is ...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS