Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Gumzo na Mwanaspoti
Nov. 27, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Bingwa wa tenisi kwa wachezaji chipukizi chini ya miaka kumi na minane, Angela Okutoyi anasema hawaii kubadili uraia. Katika mazungumzo na Ali Hassan Kauleni, Okutoyi amesema wazi kwamba licha ya kupata nafasi ya kufanya hivyo ataendelea kuwakilisha Kenya katika mashindano ya tenesi.
RELATED EPISODES
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode