HOJA ZA WAHARIRI PODCAST; Siasa za miungano, kulumbana na kuhamia mirengo
Hoja za Wahariri
Jun. 24, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Je, muungano baina ya Jubilee na ODM utaafikia malengo ya kubuni serikali 2022? Aidha, kuhama au kuhamia mirengo ya kisiasa kumeshika kasi nchini bila kusahau joto la kisiasa Mlima Kenya; nani atanufaika au kupoteza kisiasa? Geoffrey Mung'ou, Odeo Sirari na Murimi Mwangi wanayazamia masuala haya.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Share this episode