Hoja za Wahariri Podcast; Maraga na Mutunga wana hoja nzito - Mung'ou, Zubeida na Sirari
Hoja za Wahariri
Jun. 10, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Uchanganuzi wa wahariri kuhusu hoja nzito za David Maraga na DkT. Willy Mutunga (majaji wakuu wastaafu) dhidi ya hulka ya Rais Kenyatta ya kukiuka sheria. Wanasema taifa linafuata mkondo mbaya na wabunge wanafaa kumtimua Uhuru mamlakani.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Share this episode