Maisha ni Kujipanga; mwanamke afanya kazi katika chumba cha maiti

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Katika Makala ya Maisha ni Kujipanga, Je ushawahi kuwazia kufanya kazi ya mhudumu katika hifadhi ya maiti? Mwanahabari wetu wa Bungoma, Willy Khaemba amezungumza na mwanamke ambaye kwake kazi ni kazi na aliamua kuacha kazi ya ubawabu na kuwa mhudumu katika chumba cha maiti, sikiliza.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS