Makala Maisha ni Kujipanga Trans Nzoia

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Katika awamu nyingine ya Makala ya Maisha ni Kujipanga, tunamwangazia mwanamke mmoja mkazi wa Kaunti ya Trans Nzoia ambaye hatua ya kusimamishwa kazi ya uuguzi miaka kadhaa iliyopita ilimpa changamoto ya kuyapanga maisha yake upya ili kuwalea wanawe. Mwanahabari Martin Ndiema amezungumza naye kuhusu biashara yake ya kuuza maua anayoiendeleza.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS