Makala Maalum Maisha ni Kujipanga, Nairobi

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Uagizaji wa mitumba ulipositishwa nchini Kenya kutokana na janga la korona, wafanyabiashara wa mitumba walipata pigo kuu. Hata hivyo hatimaye marufuku hiyo iliondolewa na uagizaji wa mitumba kurejelewa. Je, hali imekuwa vipi kwa wanaotengemea biashara ya mitumba? Beatrice Maganga amezungumza na mmoja wafanyabiashara hao na kuandaa makala haya.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS