Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Ibrahim Kipkemboi Hussein; ubaguzi wa rangi umepungua Ulaya
Gumzo na Mwanaspoti
Jan. 31, 2022
Bingwa mara tatu wa mashindano ya Boston Marathon, Ibrahim Hussein anasema ubaguzi wa rangi umepungua ikilinganishwa na miaka ya awali. Katika mahojiano na Mwanahabari wetu Ali Hassan Kauleni, Hussein ambaye alikuwa Mwafrika wa kwanza kushinda mbio za New York Marathon mwaka 1987 anasema ulikuwapo ubaguzi wa rangi kutoka kwa mashabiki na hata waandalizi wa mashindano.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast