Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Nitawainua wachezaji - Twaha Mbarak, Sehemu ya 2
Gumzo na Mwanaspoti
Jan. 23, 2022
Wachezaji katika kaunti zote arubaini na saba nchini watanufaika na uongozi wa Twaha Mbarak iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Soka FKF. Katika sehemu ya pili ya mahojiano na Ali Hassan Kauleni, Mbarak anasema atawahusisha washikadau wote ili kuhakikisha kwamba wachezaji kutoka kaunti mbalimbali wanajumuishwa katika kikosi cha timu ya kitaifa ya soka Harambee Stars.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast