Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Nitawainua wachezaji - Twaha Mbarak, Sehemu ya 2

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Wachezaji katika kaunti zote arubaini na saba nchini watanufaika na uongozi wa Twaha Mbarak iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Soka FKF. Katika sehemu ya pili ya mahojiano na Ali Hassan Kauleni, Mbarak anasema atawahusisha washikadau wote ili kuhakikisha kwamba wachezaji kutoka kaunti mbalimbali wanajumuishwa katika kikosi cha timu ya kitaifa ya soka Harambee Stars.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS