Gumzo na Mwanaspoti Podcast;Kenya kuna Talanta, Twaha Mbarak
Gumzo na Mwanaspoti
Jan. 18, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kwa mara ya kwanza tangu kubuniwa kwa kamati ya muda katika shirikisho la soka Fkf Twaha Mbaruk amezungumzia uongozi wa soka nchini. Katika mahojiano ya mioja kwa moja na Mwanahabari wetu Ali Hassan Kauleni. Twaha amesema Kenya kuna talanta na kwamba ana uwezo wa kuboresha soka hata zaidi.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode