Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Moses Kiptanui; Wanariadha wakongwe wametelekezwa. Sehemu 2
Gumzo na Mwanaspoti
Dec. 21, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Serikali haiwasaidii wanariadha wakongwe, licha ya kuliwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali. Sikiliza podcast hii kuhusu mahojiano kati ya mwanahabari wetu Ali Hassan Kauleni na aliyekuwa bingwa wa dunia katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji, Moses Kiptanui.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode