Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Moses Kiptanui; riadha hadi ufugaji-kwa jeraha

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Aliyekuwa bingwa wa dunia katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji, Moses Kiptanui anasema alipata jeraha hivyo kumlazimu kustaafu mapema. Katika mahojiano ya moja kwa moja na Ali Hassan Kauleni, Kiptanui anasema bado alikuwa na uwezo wa kuwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali ya riadha lakini kutokana na jeraha alistaafu mapema.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS