Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Nimeifanyia FKF mengi-Nick Mwendwa, sehemu 2
Gumzo na Mwanaspoti
Nov. 21, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kabla ya kufunguliwa mashtaka, Rais wa Shirikisho la Soka Nchini, FKF Nick Mwendwa anasema kuna mengi Mazuri ambayo ametekeleza katika Shirikisho. Katika mahojiano na mwanahabari Ali Hassan Kauleni, Mwendwa anasema kuna wakufunzi wengi ambao wamepata mafunzo kupitia Shirikisho ili kuimarisha Soka mashinani.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode