Gumzo na Mwanamichezo Podcast: Uongozi ni wa wachache - Nick Mwendwa
Gumzo na Mwanaspoti
Nov. 15, 2021
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Rais wa Shirikisho la Soka, FKF anayekumbwa na utata, Nick Mwendwa anadai kuwa uongozi ni ya watu wachache ndiyo maana anapigwa vita mara kwa Mara. Katika mahojiano na wanahabari, Ali Hassan Kauleni na Stephen Mukangai, Mwendwa anaweka wazi sababu za mvutano kati ya FKF na Wizara ya Michezo.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Share this episode